تسجيل الدخول
تسجيل الدخول
تسجيل الدخول
اختر اللغة

Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis التفسير: غافر آية 42

٤٢:٤٠
تدعونني لاكفر بالله واشرك به ما ليس لي به علم وانا ادعوكم الى العزيز الغفار ٤٢
تَدْعُونَنِى لِأَكْفُرَ بِٱللَّهِ وَأُشْرِكَ بِهِۦ مَا لَيْسَ لِى بِهِۦ عِلْمٌۭ وَأَنَا۠ أَدْعُوكُمْ إِلَى ٱلْعَزِيزِ ٱلْغَفَّـٰرِ ٤٢
تَدۡعُونَنِيﱌ
لِأَكۡفُرَﱍ
بِٱللَّهِﱎ
وَأُشۡرِكَﱏ
بِهِۦﱐ
مَاﱑ
لَيۡسَﱒ
لِيﱓ
بِهِۦﱔ
عِلۡمٞﱕ
وَأَنَا۠ﱖ
أَدۡعُوكُمۡﱗ
إِلَىﱘ
ٱلۡعَزِيزِﱙ
ٱلۡغَفَّٰرِﱚ
٤٢ﱛ
تفاسير
الطبقات
فوائد
تدبرات
الإجابات
قراءات
الحديث
«Mnanilingania mimi nimkanushe Mwenyezi Mungu na nimshirikishe Yeye na kitu amabacho sina ujuzi nacho kuwa kinastahiki kuabudiwa badala Yake- na hili ni miongoni madhambi makubwa zaidi na maovu zaidi- Na mimi ninawalingania kwenye njia yenye kupelekea kwa Mwenyezi Mungu Aliye Mshindi katika kutesa Kwake, Mwingi wa msamaha kwa aliyerudia Kwake kwa kutubia baada ya kumuasi.