تسجيل الدخول
تسجيل الدخول
تسجيل الدخول
اختر اللغة

Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis التفسير: غافر آية 13

١٣:٤٠
هو الذي يريكم اياته وينزل لكم من السماء رزقا وما يتذكر الا من ينيب ١٣
هُوَ ٱلَّذِى يُرِيكُمْ ءَايَـٰتِهِۦ وَيُنَزِّلُ لَكُم مِّنَ ٱلسَّمَآءِ رِزْقًۭا ۚ وَمَا يَتَذَكَّرُ إِلَّا مَن يُنِيبُ ١٣
هُوَﲑ
ٱلَّذِيﲒ
يُرِيكُمۡﲓ
ءَايَٰتِهِۦﲔ
وَيُنَزِّلُﲕ
لَكُمﲖ
مِّنَﲗ
ٱلسَّمَآءِﲘ
رِزۡقٗاۚﲙﲚ
وَمَاﲛ
يَتَذَكَّرُﲜ
إِلَّاﲝ
مَنﲞ
يُنِيبُﲟ
١٣ﲠ
تفاسير
الطبقات
فوائد
تدبرات
الإجابات
قراءات
الحديث
Yeye Ndiye Anayewaonyesha, enyi watu, uweza Wake kwa zile alama kubwa zenye kutolea ushahidi ukamilifu wa Mwenye kuziumba na kuzianzisha, na Anawateremshia mvua kutoka mawinguni ambayo kwayo mnaruzukiwa. Na hajikumbushi kwa alama hizi isipokuwa yule anayerudi kwenye utiifu wa Mwenyezi Mungu na kumtakasia ibada.