تسجيل الدخول
تسجيل الدخول
تسجيل الدخول
اختر اللغة

Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis التفسير: فاطر آية 7

٧:٣٥
الذين كفروا لهم عذاب شديد والذين امنوا وعملوا الصالحات لهم مغفرة واجر كبير ٧
ٱلَّذِينَ كَفَرُوا۟ لَهُمْ عَذَابٌۭ شَدِيدٌۭ ۖ وَٱلَّذِينَ ءَامَنُوا۟ وَعَمِلُوا۟ ٱلصَّـٰلِحَـٰتِ لَهُم مَّغْفِرَةٌۭ وَأَجْرٌۭ كَبِيرٌ ٧
ٱلَّذِينَﱭ
كَفَرُواْﱮ
لَهُمۡﱯ
عَذَابٞﱰ
شَدِيدٞۖﱱﱲ
وَٱلَّذِينَﱳ
ءَامَنُواْﱴ
وَعَمِلُواْﱵ
ٱلصَّٰلِحَٰتِﱶ
لَهُمﱷ
مَّغۡفِرَةٞﱸ
وَأَجۡرٞﱹ
كَبِيرٌﱺ
٧ﱻ
تفاسير
الطبقات
فوائد
تدبرات
الإجابات
قراءات
الحديث
Wale waliokataa kwamba Mwenyezi Mungu, Yeye Peke Yake, Ndiye Mola wa kweli, na wakakataa kile walichokuja nacho Mitume Wake, watakuwa na adhabu kali huko Akhera. Na wale waliomuamini Mwenyezi Mungu na Mtume Wake na wakafanya matendo mema, watapata msamaha kutoka kwa Mola wao na kufutiwa dhambi zao baada ya kuzifanya zisitirike, na watakuwa na malipo mema makubwa, nayo ni Pepo.