تسجيل الدخول
تسجيل الدخول
تسجيل الدخول
اختر اللغة

Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis التفسير: الزمر آية 29

٢٩:٣٩
ضرب الله مثلا رجلا فيه شركاء متشاكسون ورجلا سلما لرجل هل يستويان مثلا الحمد لله بل اكثرهم لا يعلمون ٢٩
ضَرَبَ ٱللَّهُ مَثَلًۭا رَّجُلًۭا فِيهِ شُرَكَآءُ مُتَشَـٰكِسُونَ وَرَجُلًۭا سَلَمًۭا لِّرَجُلٍ هَلْ يَسْتَوِيَانِ مَثَلًا ۚ ٱلْحَمْدُ لِلَّهِ ۚ بَلْ أَكْثَرُهُمْ لَا يَعْلَمُونَ ٢٩
ضَرَبَﲺ
ٱللَّهُﲻ
مَثَلٗاﲼ
رَّجُلٗاﲽ
فِيهِﲾ
شُرَكَآءُﲿ
مُتَشَٰكِسُونَﳀ
وَرَجُلٗاﳁ
سَلَمٗاﳂ
لِّرَجُلٍﳃ
هَلۡﳄ
يَسۡتَوِيَانِﳅ
مَثَلًاۚﳆﳇ
ٱلۡحَمۡدُﳈ
لِلَّهِۚﳉﳊ
بَلۡﳋ
أَكۡثَرُهُمۡﳌ
لَاﳍ
يَعۡلَمُونَﳎ
٢٩ﳏ
تفاسير
الطبقات
فوائد
تدبرات
الإجابات
قراءات
الحديث
Mwenyezi Mungu Anapiga mfano wa mtumwa aliyemilikiwa na washirika wenye kuteta, na mtumwa mwingine aliyekuwa ni wa mmiliki mmoja tu, akawa yuwajua matakwa yake na yanayomridhisha. Je, mfano wa wawili hao unalingana? Basi Hivyo ndivo alivyo mshirikina. Yeye yuko katika hali ya mshangao na shaka, na Muumini yuko katika raha na utulivu. Sifa njema kamilifu zilizotimia ni za Mwenyezi Mungu, Peke Yake, lakini washirikina hawaijui haki wakaifuata.