تسجيل الدخول
تسجيل الدخول
تسجيل الدخول
اختر اللغة

Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis التفسير: الطور آية 21

٢١:٥٢
والذين امنوا واتبعتهم ذريتهم بايمان الحقنا بهم ذريتهم وما التناهم من عملهم من شيء كل امري بما كسب رهين ٢١
وَٱلَّذِينَ ءَامَنُوا۟ وَٱتَّبَعَتْهُمْ ذُرِّيَّتُهُم بِإِيمَـٰنٍ أَلْحَقْنَا بِهِمْ ذُرِّيَّتَهُمْ وَمَآ أَلَتْنَـٰهُم مِّنْ عَمَلِهِم مِّن شَىْءٍۢ ۚ كُلُّ ٱمْرِئٍۭ بِمَا كَسَبَ رَهِينٌۭ ٢١
وَٱلَّذِينَﱵ
ءَامَنُواْﱶ
وَٱتَّبَعَتۡهُمۡﱷ
ذُرِّيَّتُهُمﱸ
بِإِيمَٰنٍﱹ
أَلۡحَقۡنَاﱺ
بِهِمۡﱻ
ذُرِّيَّتَهُمۡﱼ
وَمَآﱽ
أَلَتۡنَٰهُمﱾ
مِّنۡﱿ
عَمَلِهِمﲀ
مِّنﲁ
شَيۡءٖۚﲂﲃ
كُلُّﲄ
ٱمۡرِيِٕۭﲅ
بِمَاﲆ
كَسَبَﲇ
رَهِينٞﲈ
٢١ﲉ
تفاسير
الطبقات
فوائد
تدبرات
الإجابات
قراءات
الحديث
Na wale walioamini na wakafuatwa na watoto wao katika hiyo Imani, Tutawakutanisha watoto wao nao katika daraja yao Peponi, hata kama hawakufikia matendo ya wazazi wao, ili wazazi wafurahike na watoto wao pamoja na wao katika daraja zao. Watakusanywa baina yao kwenye hali nzuri zaidi, na hatutawapunguzia chochote katika matendo yao mema. Kila mtu anafungwa na matendo yake aliyoyachuma, hatobeba dhambi za watu wengine..