تسجيل الدخول
تسجيل الدخول
تسجيل الدخول
اختر اللغة

Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis التفسير: الروم آية 37

٣٧:٣٠
اولم يروا ان الله يبسط الرزق لمن يشاء ويقدر ان في ذالك لايات لقوم يومنون ٣٧
أَوَلَمْ يَرَوْا۟ أَنَّ ٱللَّهَ يَبْسُطُ ٱلرِّزْقَ لِمَن يَشَآءُ وَيَقْدِرُ ۚ إِنَّ فِى ذَٰلِكَ لَـَٔايَـٰتٍۢ لِّقَوْمٍۢ يُؤْمِنُونَ ٣٧
أَوَلَمۡﱸ
يَرَوۡاْﱹ
أَنَّﱺ
ٱللَّهَﱻ
يَبۡسُطُﱼ
ٱلرِّزۡقَﱽ
لِمَنﱾ
يَشَآءُﱿ
وَيَقۡدِرُۚﲀﲁ
إِنَّﲂ
فِيﲃ
ذَٰلِكَﲄ
لَأٓيَٰتٖﲅ
لِّقَوۡمٖﲆ
يُؤۡمِنُونَﲇ
٣٧ﲈ
تفاسير
الطبقات
فوائد
تدبرات
الإجابات
قراءات
الحديث
Kwani hawajui kwamba Mwenyezi Mungu Anamkunjulia riziki Anayemtaka kwa kumjaribu: atashukuru au atakufuru? Na (kwani hawajui kwamba Yeye) Anambania riziki Anayemtaka kwa kumjaribu: je atavumilia au atababaika? Hakika katika kukunjulia na kubania kuna alama (za utendakazi wa Mwenyezi Mungu) kwa watu wanaomuamini Mwenyezi Mungu na wanaojua hekima ya Mwenyezi Mungu na rehema Yake.