تسجيل الدخول
تسجيل الدخول
تسجيل الدخول
اختر اللغة

Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis التفسير: الروم آية 19

١٩:٣٠
يخرج الحي من الميت ويخرج الميت من الحي ويحيي الارض بعد موتها وكذالك تخرجون ١٩
يُخْرِجُ ٱلْحَىَّ مِنَ ٱلْمَيِّتِ وَيُخْرِجُ ٱلْمَيِّتَ مِنَ ٱلْحَىِّ وَيُحْىِ ٱلْأَرْضَ بَعْدَ مَوْتِهَا ۚ وَكَذَٰلِكَ تُخْرَجُونَ ١٩
يُخۡرِجُﱝ
ٱلۡحَيَّﱞ
مِنَﱟ
ٱلۡمَيِّتِﱠ
وَيُخۡرِجُﱡ
ٱلۡمَيِّتَﱢ
مِنَﱣ
ٱلۡحَيِّﱤ
وَيُحۡيِﱥ
ٱلۡأَرۡضَﱦ
بَعۡدَﱧ
مَوۡتِهَاۚﱨﱩ
وَكَذَٰلِكَﱪ
تُخۡرَجُونَﱫ
١٩ﱬ
تفاسير
الطبقات
فوائد
تدبرات
الإجابات
قراءات
الحديث
Mwenyezi Mungu Anakitoa kilicho hai kutokana na kilichokufa, kama vile binadamu kutokana na tone la manii na ndege kutokana na yai, na Anakitoa kilichokufa kutokana na kilicho hai, kama vile tone la manii kutokana na binadamu na yai kutokana na ndege. Na Anahuisha ardhi kwa mimea baada ya kukauka na kuwa kavu. Na kwa namna hii ya kuhuisha mtatoka , enyi watu, makaburini mwenu mkiwa hai ili muhesabiwe na mulipwe.