تسجيل الدخول
تسجيل الدخول
تسجيل الدخول
اختر اللغة

Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis التفسير: الحج آية 3

٣:٢٢
ومن الناس من يجادل في الله بغير علم ويتبع كل شيطان مريد ٣
وَمِنَ ٱلنَّاسِ مَن يُجَـٰدِلُ فِى ٱللَّهِ بِغَيْرِ عِلْمٍۢ وَيَتَّبِعُ كُلَّ شَيْطَـٰنٍۢ مَّرِيدٍۢ ٣
وَمِنَﱣ
ٱلنَّاسِﱤ
مَنﱥ
يُجَٰدِلُﱦ
فِيﱧ
ٱللَّهِﱨ
بِغَيۡرِﱩ
عِلۡمٖﱪ
وَيَتَّبِعُﱫ
كُلَّﱬ
شَيۡطَٰنٖﱭ
مَّرِيدٖﱮ
٣ﱯ
تفاسير
الطبقات
فوائد
تدبرات
الإجابات
قراءات
الحديث
Na baadhi ya vichwa vya ukafiri miongoni mwa watu wanaleta utesi na wanatilia shaka uweza wa Mwenyezi Mungu wa kufufua, kwa ujinga wao wa kutojua uhakika wa uweza huu na kwa kumfuata kila shetani mwenye kumuasi Mwenyezi Mungu na Mitume Wake kati ya viongozi wa upotevu.