تسجيل الدخول
تسجيل الدخول
تسجيل الدخول
اختر اللغة

Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis التفسير: الأعلى آية 9

٩:٨٧
فذكر ان نفعت الذكرى ٩
فَذَكِّرْ إِن نَّفَعَتِ ٱلذِّكْرَىٰ ٩
فَذَكِّرۡﲶ
إِنﲷ
نَّفَعَتِﲸ
ٱلذِّكۡرَىٰﲹ
٩ﲺ
تفاسير
الطبقات
فوائد
تدبرات
الإجابات
قراءات
الحديث
Basi wawaidhie kaumu zako, ewe Mtume, kwa namna tulivyokutayarishia ufanye kwenye wahyi ulioletewa, uwaongoze njia yenye kheri na wao na uwahusu kwa mawaidha yako wale wanaotarajiwa kuwaidhika nayo. Wala usijisumbue kuwashauri wale ambao mawidha hayawaathiri isipokuwa kuwatia ujeuri na kuwafanya wayakimbie.