Sign in
Sign in
Sign in
Select Language

Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis Tafsir: Al-Mu'minun Ayah 63

23:63
بل قلوبهم في غمرة من هاذا ولهم اعمال من دون ذالك هم لها عاملون ٦٣
بَلْ قُلُوبُهُمْ فِى غَمْرَةٍۢ مِّنْ هَـٰذَا وَلَهُمْ أَعْمَـٰلٌۭ مِّن دُونِ ذَٰلِكَ هُمْ لَهَا عَـٰمِلُونَ ٦٣
بَلۡﱢ
قُلُوبُهُمۡﱣ
فِيﱤ
غَمۡرَةٖﱥ
مِّنۡﱦ
هَٰذَاﱧ
وَلَهُمۡﱨ
أَعۡمَٰلٞﱩ
مِّنﱪ
دُونِﱫ
ذَٰلِكَﱬ
هُمۡﱭ
لَهَاﱮ
عَٰمِلُونَﱯ
٦٣ﱰ
But the hearts of those ˹who disbelieve˺ are oblivious to ˹all of˺ this,1 and they have other ˹evil˺ deeds, opposite to this, in which they are engrossed.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Lakini nyoyo za makafiri ziko kwenye upotevu uliowafinika, zimejiepusha na Qur’ani na yaliyomo ndani yake. Na wao, pamoja na ushirikina wao, wana matendo mabaya, Mwenyezi Mungu Anawapa muhula wayafanye, ili ziwapate wao hasira za Mwenyezi Mungu na mateso Yake.