Sign in
Sign in
Sign in
Select Language

Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis Tafsir: Al-Mu'minun Ayah 41

23:41
فاخذتهم الصيحة بالحق فجعلناهم غثاء فبعدا للقوم الظالمين ٤١
فَأَخَذَتْهُمُ ٱلصَّيْحَةُ بِٱلْحَقِّ فَجَعَلْنَـٰهُمْ غُثَآءًۭ ۚ فَبُعْدًۭا لِّلْقَوْمِ ٱلظَّـٰلِمِينَ ٤١
فَأَخَذَتۡهُمُﳏ
ٱلصَّيۡحَةُﳐ
بِٱلۡحَقِّﳑ
فَجَعَلۡنَٰهُمۡﳒ
غُثَآءٗۚﳓﳔ
فَبُعۡدٗاﳕ
لِّلۡقَوۡمِﳖ
ٱلظَّٰلِمِينَﳗ
٤١ﳘ
Then the ˹mighty˺ blast overtook them with justice, and We reduced them to rubble. So away with the wrongdoing people!
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Hawakupitiwa na muda, uliwajia wao ukelele mkali pamoja na upepo ambao kwa upepo huo Mwenyezi Mungu Aliwaangamiza, wakafa wote na wakawa ni kama takataka za mtiririko wa maji zinazoelea juu ya maji. Basi maangamivu ni ya hawa madhalimu, na kuwa mbali na rehema ya Mwenyezi Mungu ni kwao. Kwa hivyo, na wajihadhari wenye kusikia, wasije wakawakanusha Mitume wao, ikawashukia wao adhabu ilyowashukia waliowatangulia.