Sign in
Sign in
Sign in
Select Language

Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis Tafsir: Al-Mu'minun Ayah 21

23:21
وان لكم في الانعام لعبرة نسقيكم مما في بطونها ولكم فيها منافع كثيرة ومنها تاكلون ٢١
وَإِنَّ لَكُمْ فِى ٱلْأَنْعَـٰمِ لَعِبْرَةًۭ ۖ نُّسْقِيكُم مِّمَّا فِى بُطُونِهَا وَلَكُمْ فِيهَا مَنَـٰفِعُ كَثِيرَةٌۭ وَمِنْهَا تَأْكُلُونَ ٢١
وَإِنَّﱨ
لَكُمۡﱩ
فِيﱪ
ٱلۡأَنۡعَٰمِﱫ
لَعِبۡرَةٗۖﱬﱭ
نُّسۡقِيكُمﱮ
مِّمَّاﱯ
فِيﱰ
بُطُونِهَاﱱ
وَلَكُمۡﱲ
فِيهَاﱳ
مَنَٰفِعُﱴ
كَثِيرَةٞﱵ
وَمِنۡهَاﱶ
تَأۡكُلُونَﱷ
٢١ﱸ
And there is certainly a lesson for you in cattle, from whose bellies We give you ˹milk˺ to drink, and in them are many other benefits for you, and from them you may eat.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na nyinyi, enyi watu, muna mazingatio katika ngamia, ng’ombe, mbuzi na kondoo ya kulizingatia namna ya kuumbwa kwao. Tunawanywesha maziwa yanayotoka matumboni mwao. Na munayo nyinyi kutokana nao manufaa mengine mengi kama sufi na ngozi na mfano wa hivyo, na miongoni mwao mnakula.