Sign in
Sign in
Sign in
Select Language

Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis Tafsir: Al-Mu'minun Ayah 106

23:106
قالوا ربنا غلبت علينا شقوتنا وكنا قوما ضالين ١٠٦
قَالُوا۟ رَبَّنَا غَلَبَتْ عَلَيْنَا شِقْوَتُنَا وَكُنَّا قَوْمًۭا ضَآلِّينَ ١٠٦
قَالُواْﱊ
رَبَّنَاﱋ
غَلَبَتۡﱌ
عَلَيۡنَاﱍ
شِقۡوَتُنَاﱎ
وَكُنَّاﱏ
قَوۡمٗاﱐ
ضَآلِّينَﱑ
١٠٦ﱒ
They will cry, “Our Lord! Our ill-fate took hold of us, so we became a misguided people.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Wakikubali kuwa Mitume wao waliwapelekea ujumbe na wakawaonya, watasema Siku ya Kiyama, «Mola wetu! Raha zetu, na pia matamanio yetu yalikadiriwa kwetu kwenye ujuzi wako uliotangulia, zilitutawala na kwa hivyo tukawa, katika matendo yetu, ni wenye kupotea na kuwa kando ya njia ya uongofu.