Sign in
Sign in
Sign in
Select Language

Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis Tafsir: Al-Mulk Ayah 22

67:22
افمن يمشي مكبا على وجهه اهدى امن يمشي سويا على صراط مستقيم ٢٢
أَفَمَن يَمْشِى مُكِبًّا عَلَىٰ وَجْهِهِۦٓ أَهْدَىٰٓ أَمَّن يَمْشِى سَوِيًّا عَلَىٰ صِرَٰطٍۢ مُّسْتَقِيمٍۢ ٢٢
أَفَمَنﲸ
يَمۡشِيﲹ
مُكِبًّاﲺ
عَلَىٰﲻ
وَجۡهِهِۦٓﲼ
أَهۡدَىٰٓﲽ
أَمَّنﲾ
يَمۡشِيﲿ
سَوِيًّاﳀ
عَلَىٰﳁ
صِرَٰطٖﳂ
مُّسۡتَقِيمٖﳃ
٢٢ﳄ
Who is ˹rightly˺ guided: the one who crawls facedown or the one who walks upright on the Straight Path?
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Je huyu anayetembea akiwa kichwa chake kimeinama hajui pa kuelekea wala namna ya kwenda yuko katika kulingana zaidi kwenye njia na ameongoka zaidi au ni yule anayetembea sawasawa, akiwa na kimo kilicholingana, aliye mzima, afuataye njia iliyofunuka wazi isiyokuwa na mpeteko? Na huu ni mfano Mwenyezi Mungu Amempigia kafiri na na Muumini.